top of page
TAP-LargeApplication-FullColor-200px.png

Taarifa ya Mradi Mbadala

Haki ya Elimu kwa Ajili ya Mabadiliko ya Jamii:

むふもはうてんだじ

Sisi、wahusika tulioweka sahihi zetu、tunaamini kwamba mipango ya sasa ya kijamii、kiuchumi、kisiasa、na kielimu inazaaa mahusiano ya madaraka ambayo yanasababisha ukosefu ​​mkubwa wa usawa na ambao hatimaye utatishia Msimamo wetu ni mafunzo mbadala kwa ajili ya haki、na mfumo wa elimu unaokwenda na wakati ambao utasaidia mabadiliko ya kijamii tunayohitaji ili kuunda ulimwengu tajiri、wenye usawa zaidi、naendelevu。

Majanga yaliyopo ulimwenguni na yale yanayohusiana nayo yanasukuma ubinadamu na sayari hai kuelekea mwangukowa kisiasa、kijamii、kiuchumi、nakiikolojia。 Majanga haya-ambayo kwa sasa yanaonekana katika janga la coronavirus duniani kote、kutokuwepo kwa usawa wa kimuunitikadi、ukatili wa polisi na ubaguzi wa rangi、muundo dume uliojikimu、kuongezeka kwa machafuko ya --yanaendeshwa ulimwenguni na ubepari na harakati zakijeshi。 Lazima tuchukue wakati huu wa kipekee wa kihistoria ili kufikiria upya na kubadilisha elimu ya umma kwa kiasi kikubwa kama hatua ya kuingia kwenye mabadiliko ya kina ambayo yatajenga mshikamano wa kibinadamu na ushi Tunakataa wazo kwamba kipaumbele cha elimu ni kujenga'mtaji wa nguvumali '; tunasisitizai kwamba vipaumbele vya elimu vinapaswa kujumuisha mifumo ya ikolojia endelefu r na haki zaidi za kijamii kwa vizazi vya sasa navijavyo。 Hii inahitaji kuundwa kwa mifumo ya haki ya elimu ambayo tunaweza tu kufikia kama sehemu ya mapambano mapana kwa ajili ya mabadiliko ya kijamii katika nyanja nyingine zote、hasa uchumi na katikasiasa。

Mapambano ya kimaendeleo ni muhimu kuunda mikataba mipya ya kijamii ambayo hutumikia maslahi ya pamoja ya wengi badala ya maslahi binafsi yawachache。 Historia ya binadamu inaonyesha mfululizo wa mabadiliko magumu na yanayohusiana ya kijamii yaliyoundwa na mahusiano ya madaraka:kuanzia nyakati za ujima hadi viwanda、kupitia ushindi wa kikoloni、udikteta wa kimabavu upelelezi wa kibepari i na hali ya usalama wa taifa tunaonaleo。 kuahalalisha kutokuwepoクワusawa、linajenga NAキラtabaka jipya linalotawala linazalisha itikadi inayoendeleza utawalaウェイク、mawazo amabayo NI magumu kuyabadiliナukataji WA tamaa kwamba mabadiliko yanawezekana Mamlakaハヤ屋kiitikadi karibu daima huhusisha uzingatiaji、mifumo kuunda NA屋elimu inayoimarishaダナ座kitabaka kukuza NA --binadamu / zisizo za kibinadamu、kiume / kike、akili / mwili、kidunia / kiroho、bora / duni、mijini / vijijini、sisi / wao --ambayo humpa mshindi haki ya kutumia ulimwengu wa asili na viumbe vyotevinvyo。 Udikteta mamboleo、uzawa、mfumo dume、na umaarufu wa ulowezi wa kikoloni unaojitokeza duniani kote baada ya ujio wa utandawazi na ongezeko la uhamiaji kutokana na migogoro na mabadiliko ya tabia nchi yanaimarisha upわお。

Leo、mifumo ya elimu duniani kote imeundwa katika mawazo ya ubepari mamboleo na mawazo ya ufanisi、kiwango cha kurudisha mtaji、uchaguzi、ushindani、na ukuaji wauchumi。 Itikadi hii inayapa mashirika tajiri ya kimataifa na mabilionea uwezo usio na vizuizi wa kuunda mwelekeo wa uchumi wa dunia na mifumo ya kisiasa ya kitaifa、na kuendelezauchimbaji madini na、shughuli za kiuchumi zinachafu Ikiwa imepangwa kwa namnaa hii、mifumo ya elimu hutumika kuimarisha na kuhalalisha hali ya kutokuwepo usawa wa kijamii、ubaguzi、na matabaka ndani ya mataifayote。 Hata hivyo、kama zinavyoonyesha tawala zilizopo、elimu pia ni uwanja muhimu wamashindano。 Mataifa ya kimabavu、yakijua vizuri sana kwamba elimu inaweza kuwa nguvu ya mabadiliko、yanachukua hatua za haraka kuitumia kama chombo cha kuhakikisha watu wanadhibitiwa nakutii。

マトケオヤケ、クワワトトウェンギナビジャナ、ハクナマツマイヌリムウェング。 Ubora wa elimu wanayoipata unazidi kutenganiswana hadhi yao katika jamii na kiuchumi na eneo la kijiografia wanapokaaa familiazao。 Elimu inazidi kupangwa katika masoko ya ushindani ambayo yanaunda na kukita ukabila、tabaka、na ukosefu ​​wa usawa wa kijinsia ambapo wenye shule binafsi na wakandarasi、pamoja na walimu na wanafunzi wanashindana kupitia、na kama bidhaa inayotolewa kupitia bajeti za ummaamabazo hazitoshelezi、huzingatia ubora wa matokeo、uundaji wa mtaji wa nguvumali、na kiwango cha urudishaji wa mtaji kiuchumi、na thamani yapesa。 Aina hii inaimarisha matabakaya binadamu、ubaguzi wa rangi、wazungu kujiona ndio bora na watawala、unyanyapaaji wa walio tofautii、uhalalishaji wa ukosefu ​​wa usawa wa miuchumi na kisiasa、ubinafsi wa kupitiliza、シェリアザキマバブ。東京湖モハニウタタワクピンドゥキアクワンバジャミイジリゾエリミカサナカティカヒストリアヤビナダムクワパモジャンディゾジナゾサバビシャクアンカクワミフモヤサヤリハイ、アンバチョニカマキテンドチャクジウアクワパモジャナウハリビフワマジン

Kwa miaka thelathini iliyopita、mapekendezoi endelevu ya asasi za kiraia na vyama vya elimu yamesukuma ulimwengu kukumbatia haki ya elimu na dhamira ya Elimu Kwa Wote:Kwenda shule kwa lazima kumepanua kwa kiwango ambacho haki Familia nyingi sasa zinaamini kwamba kumaliza miaka 8 hadi 12 ya shule ni muhimu kwa mustakabali wa watoto wao na serikali nyingi zinaamini kwamba kutoa elimu bure kwa umma kwa watoto wote na vijana ni sera nzuri yaラキニはつぽかりぶなくわにきしゃひり。 Kwa sehemu、udhalimu mkubwa wa kimuktadha ulilaosababishwa na miongo minne iliyopita uliozingatia masoko kama msingi umesababisha kudumishwa kwa matumizi madogo kazi katika sekta ya kijamii na kubeza shughuli zote na uwekezajii zaidi unahitajika na inawezekana、kutoka kwa serikali za kitaifa na pia mashirika ya kimataifa na yakimatifa。

Sio kwamba hakuna pesa; serikali daima hupata fedha za kutumia kwa ajili ya jeshi、polisi、usalama naupelelezi、na ustawi wamakampuni。 Ili kukabiliana na itikadi hii、ni lazima tufichue uhaba kama hadithi na ubanaji matumizi kama chaguo la sera ya makusudi ya kuendesha ajenda ya ubinafsishaji unaotokana na upebarimamboleo。

Wakati malengo ya matumizi kwa ajili ya elimu yanaakisi makubaliano ya kimataifa、serikali nyingi hazifikii hata lengo la kutumia asilimia 20 ya bajeti zao na asilimia 6 ya Pato lao la Taifa kwa ajili yaelimu。 Jumuiya ya kimataifa imeahidi kwa miongo kadhaa kutumia asilimia 0.7 ya Pato lao la Taifa kama Msaada Rasmi wa Maendeleo、lakini bado wanatenga kisehemu kidogotu chahii。ナマレンゴハヤヨーテヤナドゥフィシャサナワヒタジ。

ツナヒタジクシンダホジャヒジカティカニャンジャザウンマ。 Tatizo liliko ni zaidi yauwekezaji。 Taasisi za fedha za kimataifa--kama vile IMF na Benki ya Dunia--ni taasisi za ukoloni mambaleo zinazoendeleza sera za upebari mambaleo、kile kinachojulikana kama sera za Makubaliano ya Washington dunianikote。 IMF na Benki ya Dunia zimekuwa na jukumu kubwa la ushawishi katika sera ya elimu(na sera nyingine za kijamii)。 Badala ya kusaidia elimu、IMF kwa kweli inazuia nchi kutumia pesa kwa ajili ya kuajiri walimu na watumishi wengine wa sekta yaumma。 Benki ya Dunia inajifanya kuwa chanzo cha utafiti wa ushauri wa malengo mazuri、lakini kwa miongo minne iliyopita imeweka mapendekezo yake katika itikadi yake ya ubeparimamboleo。 Ni wakati muafaka kwa mkutano mpya wa Bretton Woods kwa ajili ya kufikiria marekebisho makubwa ya IMF na Benki yaDunia。

ツナトアウィトワマバディリコマクブワ。 Serikali zote lazima zifanye elimu ya umma bure tangu utotoni hadi elimu ya juu ambayo itawezesha umuhimu、ushirikishaji、wa kidemokrasia na kutathimini namna tunavyo fikiria kutenda pamoja dunianikote。 Kutoa elimu kama haki ya binadamu inahitaji uwekezaji kamilifu katika mifumo ya umma、uwekezaji endelevu kupitia mifumo ya kitaifa na kimataifa、marekebisho ya mfumo wa kodi、pamoja na msaada usio na masharti kuti Mtaala unapaswa kukataa kikamilifu ukimya na ushiriki wa watumiaji wa huduma ambao hulisha ongezeko la joto duniani na janga la hali yahewa。 Ikiwa na mizizi yake katika jamii、elimu lazima iwe muhimu kiutamaduni na kukuza maadili ya kibinadamu ya kupinga ubaguzi wa rangi、ubaguzi wa kijinsia、na kujenga、mshikamano wa kijamii、huruma、fikira、 nakuimarisha民主主義。 Waalimu wanahitaji uhuru wa kitaaluma、mazingira bora ya kazi、na、kupitia vyama vya wafanyakazi na mashirika mengine、sauti kubwa katika utengenezaji wasera。 Kadhalika、wanafunzi na vyama vyao vya uwakilishi lazima pia wawe na sauti katika maamuzi ya kisiasa na kiakademia、wakiwa kwamba haki yao ya kushiriki imetambuliwakikamilifu。

Dunia inahitaji mtazamo wa kina wa elimu ambayo itasaidia kubadilisha na kuunda jamii zenyemabadiliko。 Hii itahitaji mkataba mpya wa kijamii ambao unathamini matumizi kwa ajili jamii juu ya matumizi ya kijeshi na usalama na kwenda zaidi ya maslahi finyu ya sekta yabiashara、makampuni ya technologia za elimu、minyor Tunatoa wito wa kugeuza harakati za kuelekea ubinafsishaji wa elimu na huduma zingine za kijamii na kuweka mantiki yabiashara nje ya elimu na upangaji wa sera zakijamii。

Badala yake tunapata nguvu kutokana n mapambano na kujifunza kutoka kwa jumuia za wanafunzi na walimu、harakati za vyama vya wafanyakazi kwa ujumla、jumuia za za kidemokrasia za kijamii-ikiwa ni pamoja na vyama vya habari、vyama、na wataalamu ambao ni washirika wa ahadi yetu ya kuendeleza haki katika jamii halisi tunamoishi na dosarizake。 Makundi haya tayari yameandaa njia mbadala za haki za kielimu、ikiwa ni pamoja na shule na programu zisizo rasmi za elimu zinazosaidia ujamaa wa karne ya 21、uhuru wa wazawa na watu weusi、kuondolewa kwa ukoloniマフンゾムヒム。

Haki katika elimu inategemea uendelezajiwa malengo yanayohusiana na haki katika maeneo manne:

1. Haki ya kijamii-Kujenga elimu kwa ajili ya usawa、mageuzi、na maishayanayobadilika。

Mifumo ya elimu inahitaji kurudi tena katika kushughulikia ukosefu ​​wa usawa na haki katika jamii zao、kukuza haki za binadamu wa wa rangi zote、jinsia、na ulemavu、na aina shirikishi ambazoo zitafundisha jinsi ya ku

2.ハキヤハリヤヘワ-クジフンザジンシツナウェザクイシクワククザマイシャカティカサヤリ。

Tunahitaji Mkataba Mpya wa Kijani Ulimwenguni na mifumo ya elimu ya umma inayofundisha ikolojia ya binadamu na maadili ya uongozi ambayo yatawezesha mabadiliko haya sasa na katika sikuzijazo。

3. Haki ya kiuchumi – Kuwekeza kwenyei elimu na huduma nyingine za umma katika uchumiuliobadilishwa。

Mfumo wa uchumi lazima utosheleze mahitaji halisi ya watu wote kwa kuzingatia usawa na fursa、siofaida。 Janga hili lazima liwe mwashirio wa mabadiliko ya msingi wa kutoka kwenye ubepari na kuelekea demokrasia ya mahali pa kazi na mageuzi makali ya kugawa upya uchumi unaotoa kipaumbele kwa kodi inayolenga maendeleo na matumi

4. Haki ya kisiasa – Urekebishaji wa mijadalaya kisiasa katika ngazi zote

Tunahitaji kuondokana na utawala wa kimabavu na utaifa unaojenga chuki dhidi ya wahamiaji kutoka mataifamengine。 Lazima tuimarishe mshikamano wa kimataifa、kukuza ushirikiano wa kimataifa、na kuimarisha harakati za makundi ya kimataifa mpaka kwenyemashina。 Tunahitaji kutengeneza uchumi jumuishi zaidi na demokrasia shirikishi katika ngazi za mitaa、kitaifa、nakimataifa。

Mawazo haya ya awali hayaashirii ndoto za mchana au utopia;バリヤナジェンガジュウヤマワゾナヴィテンドヴィアマクンディメンギヤワナマエンデレオナヴヤマドゥニアニコテ。 Sisi、wahahusika tuliosaini、tunaona mawazo haya ni kwa ajili ya kufanya mtazamo mpya wa elimu na jamii kama njia muhimu ya kukabiliana na kuondokana na majanga makubwa ambayo sayari inakabiliwanayo。

bottom of page